Makelemo consulting services




 Makelemo consulting services ni taasisi inayotoa huduma za ushauri wa kibiashara na kuendesha mafunzo na semina  ya kuwajengea uwezo watumishi  ndani Yao dhana ya umiliki ( to create Sense of ownership)

Pia tuna tengeneza mifumo thabiti ya a uendeshaji wa biashara yako au taasisi/kampuni;

A. Kutengeneza mifumo ya kifedha ( financial management policy)

B. Mifumo ya udhibiti wa manunuzi na ugavi ( procurement and supply policy)

C.Mifumo ya rasilimali watu ( Human resources policy)

D. Kuendesha mafunzo na semina kwa watumishi juu huduma nzuri kwa wateja na dhana ya umiliki ( Training on customer service and stewardship)


Karibu sana katika taasisi yetu utafurahia huduma zetu asilimia 100;

Tupo Nyegezi karibu na bus stand

Kwa mawasiliano Zaid:

0763 826 410 

Whatsapp 0653 552 236

Email address; lmakelemo@yahoo.com

Official: mkmconsultingservice@gmail.com

Karibuni Sana tuwahudumie.

Post a Comment

Previous Post Next Post